Siku ya Alkhamis, Juni 4, Serikali ilichapisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Miscellaneous Amendments No.3 (2020), ikikusudia kurekebisha Sheria 13. Siku ya Ijumaa, Juni 5 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria iliwatangazia wadau kuwa wanakaribishwa kutoa maoni kwa siku tatu kuanzania Ijumaa Juni 5 mpaka Jumapili Juni 7 kabla ya hatua nyingine kuendelea. Muswada huu uliwasilishwa kwa hati ya dharula na hivyo kupelekea zoezi la kukusanya maoni ya wadau kufanyika kwa haraka hata siku za mapumziko mwisho wa wiki.
SKipekee kabisa, marekebisho haya yanayopendekezwa yanagusa kiini cha jamii yetu, hususan dhana ya utawala wa sheria. Soma hapa Taarifa kuhusu Muswada wa Marekibisho ya Sheria Mbalimbali (Miscellaneous Amendments) No. 3 (2020)
Unleash your inner purpose to help the helpless, marginalized and oppressed. Your contribution will help our course in provision of legal aid and promotion of human rights.
Help us curb human rights violations such as the murderous attack against people with albinism and elders.
Your donation will help us empower the general public with civic education on cross cutting issues counting gender issues and democracy to realize the changes we aspire.
Help us safeguard human rights all together.
Huenda huna muda wa kutosha wala kipato cha kutosha kulinda utu na haki za wengine, ingawa unawiwa kufanya hivyo.
Ni jukumu letu sote kujitoa kwa kidogo tulichojaaliwa ili kupaka rangi ya furaha katika nyuso za wengine, wewe, yule na sisi tukikusanya nguvu tunaweza kutetea na kulinda haki za wanaoonewa kwa kushindwa kuzifikia huduma za haki.
Jitolee sasa kidogo ulichonacho kusaidia ulinzi na utetezi wa haki na utu wa binadamu.

LEAVE A REPLY
Your email address will not be published.