Utangulizi
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinapenda kutoa ufafanuzi kwa umma kuhusu mabadiliko ya Sheria ya Makosa ya Jinai kupitia Mapendekezo ya Marekebisho ya Sheria yaliyoletwa kupitia Muswada namba 4 wa mwaka 2019.
Marekebisho hayo yanaanzia Kifungu cha 3, na kuongeza kifungu 194A hadi 194H cha Sheria ya Makosa ya Jinai ya Mwaka 1985 (Sura ya 20). Ufafanuzi huu umejikita kuelezea dhana ya Plea Bargaining (Makubaliano ya Kukiri Kosa).
Sababu ya ufafanuzi huu ni kuelimisha umma kuhusu dhana hii mpya katika mfumo wa utoaji haki nchini Tanzania. Pia, kutoa wito kwa mamlaka husika kuhakikisha dhana ya Makubaliano ya Kukiri Kosa (Plea Bargaining) inatumika kwa usahihi katika mchakato wa upatikanaji haki nchini kwa kuzingatia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977 na Mikataba ya Kimataifa ya Haki za Binadamu.
Ufuatao ni ufafanuzi wa kisheria;
Makubaliano Maalumu ya Kukiri Kosa (Plea Bargaining)
Matokeo ya Makubaliano Maalum ya Kukiri Kosa (Plea Bargaining)
Utaratibu wa Kufanya Makubaliano ya Kukiri Kosa (Plea Bargaining)
Kumbuka: Endapo Mshitakiwa alifanyiwa utafasiri wa makubaliano hayo kwa kutumia mtaalamu wa tafsiri, mtaalamu huyo atatakiwa kuweka uthibitisho kisheria kwamba ni mbobevu katika lugha hiyo, na ametoa tafsiri sahihi katika makubaliano hayo kwa mujibu wa maudhui husika.
Wajibu wa Mahakama katika Makubaliano hayo
Mambo ya Msingi ya Kufahamu Juu ya Makubaliano ya Kukiri Kosa
Makosa yasiyoruhusiwa kufanyiwa Makubaliano Maalumu ya Kukiri Kosa
Wito wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu
Imetolewa September 25, 2019 na;
Anna Henga,
Mkurugenzi Mtendaji
Unleash your inner purpose to help the helpless, marginalized and oppressed. Your contribution will help our course in provision of legal aid and promotion of human rights.
Help us curb human rights violations such as the murderous attack against people with albinism and elders.
Your donation will help us empower the general public with civic education on cross cutting issues counting gender issues and democracy to realize the changes we aspire.
Help us safeguard human rights all together.
Huenda huna muda wa kutosha wala kipato cha kutosha kulinda utu na haki za wengine, ingawa unawiwa kufanya hivyo.
Ni jukumu letu sote kujitoa kwa kidogo tulichojaaliwa ili kupaka rangi ya furaha katika nyuso za wengine, wewe, yule na sisi tukikusanya nguvu tunaweza kutetea na kulinda haki za wanaoonewa kwa kushindwa kuzifikia huduma za haki.
Jitolee sasa kidogo ulichonacho kusaidia ulinzi na utetezi wa haki na utu wa binadamu.

LEAVE A REPLY
Your email address will not be published.